Waumini wengi ndani ya Bwana wanasadiki kwamba Bwana atarudi kwa utukufu, akishuka juu ya wingu na kuonekana kwa watu wote, hivyo siku zote wanayaangalia mawingu kwenye mbingu, wakisubiria Bwana kushuka akiwa juu ya wingu, na kunyakuliwa hadi kwenye mbingu na kukutana na Yeye. Je, dhana hii inaenda sambamba na ukweli? Mtu anafaa kufahamu vipi kuonekana kwa Mungu na kazi? Kuonekana kwa Mungu kunayo mafumbo ya aina gani?
Tazama zaidi : Tovuti ya Kanisa la Mwenyezi Mungu ni tovuti ya injili ambayo inadhihirisha Mwenyezi Mungu na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Inatoa ushuhuda kwa ukweli kwamba Mwenyezi Mungu ni Bwana Yesu na Amekwisha kurudi.